Ukraine yaanza ziara barani Afrika Waziri wa mambo ya nje wa Ukraine Dmytro Kuleba (kushoto) alipotembelea Senegal. Kumekua na kigugumizi cha vyombo vya habari kuripoti ujio wa Waziri wa mambo ya nje wa Ukraine ambaye amezuru nchini Senegal , akifika katika mji mkuu wa Dakar. Read more about Ukraine yaanza ziara barani Afrika