Zuchu Hataki Ugomvi na Lady JayDee

Pichani Ni Zuchu na Lady Jaydee

Msanii Zuchu ameamua kuwatolea uvivu wadau pamoja na mashabiki wa muziki Tanzania ambao wamekuwa wakimshindanisha msanii huyo na malkia wa bongo fleva Lady Jayde katika upande wa uandishi pamoja na utumbuizaji katika stages

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS