Aliyeua kichanga chake akamatwa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limethibitisha kumshikilia mwanamke anayefahamika kwa jina la Zulpha Mathew Timamu (26) mkazi wa Kata ya Tandika Wilaya ya Mtwara kwa tuhuma za Mauaji ya Kichanga chenye jinsia ya kiume muda mchache baada ya kujifungua, tukio ambalo lilitokea tarehe 02/06/25