Minada ya vito kuanza kufanyika nchini

Waziri wa Madini Anthony Mavunde

Serikali kupitia Wizara ya Madini inarudisha minada ya ndani ya madini ya vito itakayofanyika katika maeneo ya uzalishaji hususani Mirerani, Mahenge, Tunduru, Dar es Salaam, Arusha na Tanga na kimataifa itafanyika mji wa Bangkok na Jaipur nchini Thailand.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS