Tembo Warriors kupambana na Haiti robo fainali

Tembo Warriors'

Timu ya Taifa ya watu wenye ulemavu 'Tembo Warriors' itarajia kushuka uwanjani kwenye uwanja wa TFF Riva jijini Instanbul kumenyana na Haiti ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali ya mashindano ya kombe la Dunia yanayoendelea nchini Uturuki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS