Steve ajibu "Kunyamaza ni sifa ya kukomaa"

Picha ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere kulia na Steve Nyerere kushoto

Msanii wa filamu Steve Nyerere 'Tivu Ake' amefunguka baada ya familia ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Charles Makongoro kumpiga stop kutumia jina la baba yao. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS