Vodacom wapoteza bilioni 103 kutokana na tozo

Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Vodacom Tanzania.

Kampuni ya simu za mkononi nchini ya Vodacom imesema imepoteza takribani zaidi ya shilingi bilioni 103.9 tangu tozo za miamala ya simu kwa Vodacom ilipoanza mwezi wa saba mwaka jana hadi kufikia mwezi wa tatu mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS