Mabaki ya mwanafunzi yakutwa porini

Levis Mwailemale, enzi za uhai wake

Mabaki ya mwili wa mwanafunzi, Levis Mwailemale (16) wa kidato cha nne katika  shule ya sekondari Ikuti iliyoko wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, aliyepotea zaidi ya miezi nane iliyopita yamekutwa porini pamoja na nguo alizokuwa amevaa wakati anapotea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS