Mkurugenzi wa Mawasiliano na mahusiano wa benki ya CRDB Tuliesta Mwambapa
Benki ya CRDB imesema vyombo vya habari vimekuwa na mchango mkubwa uliofanikisha benki hiyo kutambulika kimataifa na kupata tuzo mbalimbali zilizotokana na utoaji wa huduma bora kwenye jamii