Milioni 300 za hospitali zapigwa Katavi

Nyufa katika hospitali ya wilaya ya Nsimbo

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko, ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wanne walioiingizia serikali hasara ya shilingi milioni 300, kwa kujenga majengo ya hospitali ya wilaya ya Nsimbo chini ya kiwango na fedha zingine kutokujulikana matumizi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS