Vijana waliojenga zahanati kwa mkopo wafunguka

Vijana wanufaika wa mkopo wa halmashauri

Baada ya vijana nane ambao ni wahitimu wa chuo  kujikusanya pamoja na kupewa mkopo na kufungua zahanati Kipunguni, Dar es Salaam, EATV imefika katika zahanati  hiyo na kuzungumza na mwakilishi wa vijana hao pamoja na wakazi wa eneo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS