Mwalimu aliyefukuzwa kurudishwa kazini

Mkuu wa mkoa wa Lindi, Zainabu Telack

Mkuu wa mkoa wa Lindi, Zainabu Telack, ameamuru kurejeshwa kazini mwalimu wa shule ya msingi Mtende, Halmashauti ya wilaya ya Kilwa, Stanley Ngaiza, aliyefukuzwa kwa madai ya utoro kazini kwa siku 11.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS