Mwalimu aliyefukuzwa kurudishwa kazini Mkuu wa mkoa wa Lindi, Zainabu Telack Mkuu wa mkoa wa Lindi, Zainabu Telack, ameamuru kurejeshwa kazini mwalimu wa shule ya msingi Mtende, Halmashauti ya wilaya ya Kilwa, Stanley Ngaiza, aliyefukuzwa kwa madai ya utoro kazini kwa siku 11. Read more about Mwalimu aliyefukuzwa kurudishwa kazini