Wafanyabiashara wa mbao Njombe walia na TRA

Mbao zikiwa sokoni

Wafanyabiashara wa mbao mkoani Njombe wamesema wanakwama kufanya biashara hiyo kwa sababu ya mlundikano wa kodi na ushuru unaosababishwa nabaadhi ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA ) na halmashauri ya wilaya hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS