Ufaransa yaingilia kati mgogoro wa DRC na Rwanda

Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, amekutana na viongozi wa nchi za Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo  kutokana na msigano unaoendelea baina yao juu matukio ya  kihaini ambayo DRC inasema kwamba Rwanda inayaunga mkono. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS