Wiki ya uwekezaji Pwani 2022 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge ametangaza tarehe rasmi itakayofanyika Wiki ya Uwekezaji Pwani ambapo maonyesho hayo yatatoa taswira ya wepesi na urahisi kwa wawekezaji kuwekeza ndani ya Mkoa wa Pwani. Read more about Wiki ya uwekezaji Pwani 2022