Wiki ya uwekezaji Pwani 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge ametangaza tarehe rasmi itakayofanyika Wiki ya Uwekezaji Pwani ambapo maonyesho hayo yatatoa taswira ya wepesi na urahisi kwa wawekezaji kuwekeza ndani ya Mkoa wa Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS