Kiduku, Mandonga waisimamisha Mtwara
Mabondia Twaha Kiduku na Karim Mandonga jana asubuhi alisimamisha shughuli za kiuchumi kwa muda kutokana na kupewa mapokezi mazito chini ya mkuu wa mkoa, Kanali Ahmed Abasi Ahmed kuelekea kwenye pambano la kimataifa la Mtwara Ubabe Ubabe 2 linalotarajia kupigwa Septemba 24, mwaka huu.