Tanzania kuwahoji wakimbizi wa Burundi
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza mahojiano ya kina na wakimbizi wa Burundi wanaoishi nchini ifikapo 2025, mahojiano ambayo yatashirikisha wadau mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) ili kubaini changamoto wanazokabiliana nazo