Matumaini kupatikana chanjo ya Malaria.

Kumekua na maendeleo mazuri ya ugunduzi wa  chanjo ya Malaria  na wanasayansi kutoka chuo kikuu cha  Oxford. Chanjo hiyo inatarajiwa kuchukua hatamu mwakani baada ya kuonyesha mafanikio kwa  80% dhidi ya ugonjwa huo hatari .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS