"Michango ya Walimu iheshimiwe" - RC Dar Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla, ametoa siku 14 kwa maafisa elimu ndani ya mkoa huo kuorodhesha migogoro yote ya ardhi inayohusisha uvamizi wa maeneo ya shule ili serikali iweze kuitatua. Read more about "Michango ya Walimu iheshimiwe" - RC Dar