Karani wa Sensa akutana na miti badala ya nyumba

Miti

Karani mmoja wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora, amesema alishindwa kuifikia kaya moja iliyopo katika kijiji cha Migelele, Kata ya Lugubu wilayani humo baada ya kuchezewa kiini macho na kuona miti kila aliposogelea makazi hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS