Vijana watatu kunyongwa baada ya kumuua Mwanajeshi
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro, imewahukumu watu watatu kati ya tisa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya Ofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), anayefahamika kwa jina la Leonard Enyimba Yamakwa kwa makusudi.