Wananchi watakiwa kusalimisha silaha kwa hiari

Msemaji wa Jeshi la Polisi SACP David Misime

Wananchi wametakiwa kujitokeza katika kampeni maalum ya mwezi wa msamaha wa Afrika itakayohusisha usalimishaji wa silaha haramu kwa hiari katika vituo vya polisi, ofisi za Serikali za mitaa, ofisi za watendaji wa Serikali za mitaa na vijiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS