Mazingira ya uwekezaji ni mazuri - Waziri Ndaki

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka  wawekezaji  kutoka ndani na nje ya nchi  kuwekeza katika sekta ya mifugo huku akisisitiza  kuwa mazingira ya uwekezaji kwa sasa hapa nchini ni salama chini ya Uongozi wa  Rais  wa Jamuhuri wa muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS