Simba Queens bado tuna deni kubwa Kikosi chetu cha Simba Queens Baada ya kutwaa taji la ubingwa wa Cecafa, kocha mkuu wa Simba Queens, Sebastian Nkoma amesema bado ana kazi kubwa ya kufanya ili kuhakikisha timu inafanya vizuri kwenye mashindano makubwa yaliyo mbele yao. Read more about Simba Queens bado tuna deni kubwa