Vyuo vya VETA kujengwa Wilaya 62

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatarajia kuanza ujenzi wa vyuo vya VETA katika Wilaya 62 ambazo hazina vyuo hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS