Mafuriko yaleta majanga Nigeria

Mamlaka nchini Nigeria  zinasema kwamba zaidi ya watu  300 wamepoteza maisha huku wengine zadi ya 100,000 wakiwa hawana mahali pa kuishi kutokana na mafuriko makubwa nchini humo tangu  mwezi  Julai mwaka huu. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS