Mabasi Dar yaruhusiwa kushusha vituo binafsi

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, ameondoa katazo lililokuwa likizuia mabasi yaendayo mikoani kutoruhusiwa kupakia abiria au kushusha katika vituo binafsi na badala yake ameruhusu utaratibu huo kuendelea kwa sharti la kila basi kuingia ndani ya kituo kikuu cha Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS