Ajali yaua watumishi wa TANESCO Manyara Gari lililokuwa na watumishi wa TANESCO Watumishi watatu wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) mkoa wa Manyara, wamefariki dunia katika ajali iliyotokea kwenye barabara ya Babati Singida. Read more about Ajali yaua watumishi wa TANESCO Manyara