Wanaobandika lebo bandia Shinyanga waonywa

Bidhaa zilizobandikwa lebo bandia

Serikali Mkoani Shinyanga imetoa onyo kwa baadhi ya wafanyabiashara wanaouza bidhaa zilizomaliza muda wa matumizi kwa kubandika stika na lebo za bandia, jambo linalohatarisha afya za watumiaji wa bidhaa hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS