Baba wa miaka 46 ambaka mtoto kwa shilingi 500

Mtoto aliyebakwa

Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Sunday (46), mkazi wa mtaa wa Mkudi, Kata ya Nyamanoro Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza, anadaiwa kumbaka mtoto wa 8 (Pichani) na kumsababishia maumivu makali ikiwemo kumuharibu kisaikolojia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS