Safari yetu bado ndefu kushinda makombe- Ten Hag Kocha wa Manchester United Erik ten Hag Kocha wa Manchester United Erik ten Hag amesema kikosi chake bado kipo kwenye hatua za awali kwenda kwenye mafanikio na bado wanasafari ndefu hivyo wanapaswa kuwa bora kila siku ili kufikia malengo. Read more about Safari yetu bado ndefu kushinda makombe- Ten Hag