Tanzania yawasilisha miradi minne TICAD - Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania imewasilisha miradi minane yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.334 katika Mkutano wa Nane wa Kimataifa wa Wakuu wa Nchi na Serikali unaohusu ushirikiano wa Maendeleo baina ya Japan na Afrika (TICAD8) ambao umemalizika jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS