Mapipa 32 ya lami yakamatwa Bunda
Jumla ya mapipa ya lami 32 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 30, yamekamatwa wilayani Bunda mkoani Mara baada ya kuweka mtego na kubaini wezi ambao wanaiba vifaa pamoja na malighafi zinazotumika katika ujenzi wa barabara ya Buramba Nyamswa inayojengwa na kampuni ya CRCC ya nchini Chi