Mtoto wa Mbunge afariki baada ya kunywa maji mengi
Cellie Mwambe (14), ambaye ni mtoto wa Mbunge wa jimbo la Ndanda Cecil Mwambe, amefariki dunia jana Agosti 23, 2022, baada ya kujirusha kwenye swimming pool ya nyumbani kwao maeneo ya Ada Estate Kinondoni Dar es Salaam, wakati akicheza na wenzake na kujigonga chini.