Basi la Tanzanite laua watano Singida

Basi la Tanzanite lililopata ajali

Idadi ya vifo vilivyotokana na ajali ya basi la kampuni ya Tanzanite imeongezeka kutoka vifo vinne hadi vitano hii leo. basi hilo lilipata ajali jana Agosti 17, 2022, katika Kijiji cha Mbwasa wilayani Manyoni mkoani Singida wakati likitoka jijini Mwanza kuelekea Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS