Ulega ahimiza vijana kufuga samaki Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amewahimiza vijana wa kanda ya Ziwa Victoria kufuga samaki ili kujiongezea kipato na kuongeza fursa za ajira nchini. Read more about Ulega ahimiza vijana kufuga samaki