Watu zaidi ya nane wafariki ajalini Mbeya Moja ya gari lililopata ajali mkoani Mbeya Zaidi ya watu nane wamepoteza maisha hii leo Agosti 16, 2022, kwenye ajali iliyohusisha magari matatu likiwemo lori lililofeli breki na kuparamia magari mawili eneo la Pipe line Inyala wilayani Mbeya. Read more about Watu zaidi ya nane wafariki ajalini Mbeya