Watu zaidi ya nane wafariki ajalini Mbeya

Moja ya gari lililopata ajali mkoani Mbeya

Zaidi ya watu nane wamepoteza maisha hii leo Agosti 16, 2022, kwenye ajali iliyohusisha magari matatu likiwemo lori lililofeli breki na kuparamia magari mawili eneo la Pipe line Inyala wilayani Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS