RC Chalamila akemea biashara ya magendo

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amesema pamoja na wilaya ya Kyerwa kuzalisha kwa wingi zao la kahawa, bado ipo nyuma kimaendeleo kutokana na usaliti unaofanywa na baadhi ya wananchi, viongozi na watumishi wa serikali, kwa kuhusika na biashara ya magendo ya Kahawa kwenda nje ya nchi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS