Mwizi maarufu wa pikipiki akamatwa Katavi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mtuhumiwa maarufu wa wizi wa pikipiki anayefahamika kwa jina la Laurenti Lazaro (61) Mkazi wa Kanoge Wilaya ya Mpanda akiwa ameiba pikipiki tano za watu tofauti tofauti