Ajali yaua dereva na abiria wake watano

Gari lililopata ajali

Watu sita wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Raum, kuacha njia na kupinduka katika eneo la Iguguno Ushamba lililoko wilayani Mkalama mkoani Singida, huku chanzo kikitajwa kuwa ni mwendokasi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS