Polisi wawakamata vishandu 91 Morogoro

Kamanda wa polisi Mkoa wa Morogoro SACP Fortunatus Musilim

Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro linawashikilia watu 101 kwa tuhuma mbalimbali wakiwemo vijana 91 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uporaji simu na mikoba ya wakinamama kwa kutumia pikipiki maarufu kama vishandu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS