Ditopile apongeza Kigoma kupata gridi ya taifa

Mariam Ditopile, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Dodoma

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuandika historia ya kufikisha umeme wa gridi mkoani Kigoma kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS