Polisi waongezewa nguvu kupambana na panya road

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini CP Awadhi Juma Haji.

Jeshi la Polisi nchini limeongezewa nguvu na makampuni binafsi ya ulinzi ili kuzuia uhalifu wa panya road ndani ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo makampuni hayo yameahidi kutoa magari 8, pikipiki 3, askari na mafuta yenye thamani ya Tsh 350,000, ili kusaidia katika doria mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS