"Ukipiga kura rudi nyumbani" - Polisi Kenya Wakenya wakisubiri kupiga kura Jeshi la Polisi nchini Kenya, limesisitiza wananchi nchini humo kuhakikisha wanarejea majumbani kwao mara baada ya kupiga kura na kungoja matokeo wakiwa makwao. Read more about "Ukipiga kura rudi nyumbani" - Polisi Kenya