Wanafunzi wapewa tuzo kupunguza utoro

Mwanafunzi akipokea zawadi baada ya kufaulu

Katika kuhakikisha tatizo la utoro kwa wanafunzi linadhibitiwa na kuwezesha kufaulu mitihani yao, wanafunzi saba kutoka katika shule sita za msingi za serikali zilizoko kata Kanyangereko wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera, wamepatiwa tuzo ya fedha, medali na makombe, baada ya kufaulu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS