Ajali yaua takribani watu 16

Moja ya gari iliyokuwepo kwenye ajali

Takribani watu 16 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS