Tanzania yapokea bilioni 23.7 kutoka Ujerumani 

Kushoto ni Balozi wa Ujerumani nchini Regina Hess na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Emmanuel Tutuba

Serikali ya Tanzania imesaini makubaliano ya shilingi bilioni 23.7 ya ushirikiano na serikali ya shirikisho la Ujerumani kwa ajili ya kudhibiti uharibifu wa wanyamapori na vifo vinavyosababishwa na wanyamapori kama Tembo katika jamii zinazozunguka maeneo ya hifadhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS