Gari lamvamia bodaboda Dar es Salaam

Gari lililogonga bodaboda

Gari aina ya Harrier lenye namba T 210 DRC, limepata ajali baada ya kumvamia bodaboda aliyekuwa amepaki pembeni katika makutano ya barabara ya ITV jijini Dar es Salaam, na kusababisha uharibifu wa vyombo hivyo vya moto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS