Ten Hag amtaka Ronaldo kujiimarisha kwanza

Kocha Erik Ten Hag akimwelekeza jambo Ronaldo katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayo Vallecano jumapili iliyopita.

Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amesema Cristiano Ronaldo anaweza kufaa katika aina yake ya uchezaji lakini atahitaji kujiimarisha kwanza kabla ya kupata nafasi ya kuthibitisha kuwa anastahili nafasi katika kikosi cha kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS