Joshua akubali Masharti ya Tyson Fury

Promota wa bondia Mwingereza Anthony Joshua Eddie Hearn amesema haoni kama kuna vizingiti vitakavyo sababisha pambano la uzito wa juu kati ya  Anthony Joshua na Tyson Fury kutofanyika, amesisitiza kuwa Joshua anataka pambano lifanyike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS