Wafanyabiashara soko la Magomeni wapangwa upya

Vizimba soko la Magomeni

Baada ya wafanyabiashara katika Soko la Kimataifa la Magomeni kukimbia vizimba na maduka yaliyopo sehemu za juu na kwenda kufanyia biashara chini, sasa wamerejea katika maeneo yao ya ghorofani baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kuunda kamati ya kuwapanga upya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS