Tutaishangaza dunia- timu ya jumuiya ya madola

kikosi cha ndondi kinachoshiriki michuano ya jumuiya ya madola

Kocha Mkuu Timothy Kingu wa kikosi cha ndondi kinachoiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Jumuiya ya Madola ambayo yameanza rasmi  Julai 28,2022 amemhakikishia Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na watanzania wote kurejea na medali za ushindi kwenye mchezo huo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS