Dkt. Mabula ataka mpango matumizi ya ardhi Butimba
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametoa wito kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuweka mpango wa matumizi ya ardhi katika eneo la mradi wa chanzo na kituo cha tiba ya maji cha Butimba mkoani Mwanza.

