Nyongeza ya mshahara yaongeza ari ya watumishi

Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

Baada ya serikali kutangaza kuongeza mshahara kwa 23% kwa kima cha chini, watumishi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wamesema kwamba nyongeza hiyo imewaongezea ari ya kufanya kazi kwa bidii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS