Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke
Baada ya serikali kutangaza kuongeza mshahara kwa 23% kwa kima cha chini, watumishi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wamesema kwamba nyongeza hiyo imewaongezea ari ya kufanya kazi kwa bidii.